Jumatatu, 18 Novemba 2013

WATU 50 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA NDEGE URUSI

  • WATU 50 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA NDEGE URUSI

    Ndege aina ya Boeing 737 baada kulipuka.Mabaki ya ndege ya Boeing 737.
    Magari ya kubebea wagonjwa yalionekana nje ya uwanja wa Kazan airport.

    Watu 50 waliokuwa katika ndege aina ya Boeing 737 wamepoteza maisha baada ya ndege hiyo kulipuka wakati ikijaribu kutua jijini Kazan, Urusi ikitokea Moscow!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni