Majibu ya Mh Freeman Mbowe kuhusu tuhuma za Mh Zitto Kabwe
![]() |
Mh Freeman Mbowe |
MBUNGE wa Kigoma
Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, alishusha tuhuma nzito dhidi ya
Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, zikimhusisha na ufisadi.
Hata hivyo, Mbowe naye amejibu tuhuma hizo akisema ni busara zaidi kwa mhusika kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake badala ya kuibua tuhuma nyingine.
Madai hayo ya Zitto kwa Mbowe ni kilele cha siasa za kuchafuana, kutukanana na kuvunjiana heshima kilichodumu kwa takribani miezi mitatu sasa kupitia vyombo tofauti vya habari.
Hata hivyo, Mbowe naye amejibu tuhuma hizo akisema ni busara zaidi kwa mhusika kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake badala ya kuibua tuhuma nyingine.
Madai hayo ya Zitto kwa Mbowe ni kilele cha siasa za kuchafuana, kutukanana na kuvunjiana heshima kilichodumu kwa takribani miezi mitatu sasa kupitia vyombo tofauti vya habari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni