TAARIFA YA DHARURA JUU YA KIFO CHA DR SENGONDO MVUNGI
http://tanzanianewz.blogspot.com
Ni
jana tu ambapo Waziri wa mambo ya ndani Dr. Emmanuel Nchimbi alitangaza
kushikiliwa kwa watu tisa wanaotuhumiwa kuhusika na ujambazi uliofanywa
dhidi ya Dr. Sengondo Mvungi aliekua mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya
Katiba Mpya na kiongozi wa NCCR-Mageuz.
Inauma sana!!! Taifa letu tuzidi kuliombea sana na tusikate tamaa!!!
Mungu ampokee na amweke pema!!!...R.I.P
TUTAZIDI KUKUPA UPDATES ZAIDI BAADAE ENDELEA KUWA NASI MDAU...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni