Jumatatu, 18 Novemba 2013

KAJALA MASANJA TENA NDANI YA HUKUMU MPYA KISA SOMA YALIYOMO...http://tanzanianewz.blogspot.com

 HUKUMU YA KAJALA NOVEMBA 25 MWAKA HUU....MUMEWE AKATA RUFAA



Kajala Masanja.
Msanii wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu, baada ya mumewe kukata rufaa. Hukumu ya rufaa ilibidi isomwe leo katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam lakini imeahirishwa baada ya Jaji aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo kupata hudhuru!

GPL

Read more: http://tanzanianewz.blogspot.com/2013/11/hukumu-ya-kajala-novemba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni